AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Wasira wa Pili Kushoto akiwa na Viongozi wa Kanisa la Kisabato Uwanja wa Taifa huku Koti la Suti likiwa Limekosewa Kufungwa vifungo |
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
hahahhaha kwani mnyama wa polini anaweza kuvaa nguo?
ReplyDeletehahahhaha kwani mnyama wa polini anaweza kuvaa nguo?
ReplyDeletehahahahaaa very fun mkubwaaaaa
ReplyDeleteAna wake 3 kweli wameshindwa gundua uwiiii kweli Wa msituni hafai mjini
ReplyDeleteHhahhaha! Adam kaniacha hoi
ReplyDeleteHiyo inaonyesha jinsi gani viongozi wetu wasivyokuwa makini .watu wa ku kurupuka ndiomana hata nchi yetu haisongi mbele
ReplyDeleteHiyo style bab kubwa sio, bid up Wasira wakuache miaka 1000, usinge vaa hivyo wasingepata cha kuongea,,, Raisi wetu wa October 15.
ReplyDeleteSio eti amevaa vibaya hapana hiyo ni style yake mpya kwani hainge wezekana avae hivyo. Alitaka kutuonyesha kwamba na suti inaweza kuvalia kwa style yoyote. Hongera mzee hiyo style ni yenyewe naipenda kishenzi wewee.
ReplyDeleteHALAFU ANATAKA URAIS ????????
ReplyDeleteI gotta my bega moja juuuu, swaga hizo wajameni
ReplyDeletekuweni na adabu! baba zenu wangefanya hivyo mngechekelea?
ReplyDeleteHuyo mpiga picha naye feki tu! kwanini hakuona hilo kabla ya kupiga picha? na kumshauri avae vizuri! kupiga picha ni fani!
ReplyDelete