AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
MPENZI wa nguli wa Muziki wa Bongo Fleva nchini, Nasibu Abdul 'Diamond Platnumz', Zarinah Hassan 'Zari the Boss Lady' ameamua kutupia picha ya mrembo aliyejichora jina la Diamond kwenye ziwa 'nido' lake la kushoto...
Zari ameamua kutupia picha hiyo kwenye akaunti yake ya Instagram akionyesha kuwa mpenzi wake anakubalika vilivyo miongoni mwa warembo.
Wengi wa mashabiki wa Zari the Boss Lady wameonekana kuvutiwa na picha hiyo na kitendo cha mrembo huyo kuamua kuachia picha hiyo ila Kwenye Caption ya Picha hiyo Amemuonya kwa Kumwambia "Lolz he is Taken though"
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Sio account ya Zari....haina _ mwishoni acheni uzushi
ReplyDeleteNa mimi nitajichora zari kwenye uboo wangu diamond akasilike
ReplyDeleteNa mimi nitajichora zari kwenye uboo wangu diamond akasilike
ReplyDeleteaccount sio ya zari
ReplyDelete