AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Miaka hiii ya karibuni kuna watu maarufu hususani wasanii wanakufa wakiwa above 30 hawana mchumba ,mke,mtoto,hata nyumba hawana hao ni zaidi ya masikini tunatakiwa kuwaweka kundi la kapuku,usikubali kufa kapuku wanaume tuoe na wanawake muolewe acheni kuchaguachagua kama mnachagua nazi gengeni.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
WEEE UMESEMA!!!!
ReplyDeleteTATIZO HAKUNA WAOLEWAJI WALA WAOWAJI, WOTE MATAPELI WANATAPELIANA BASI..........NI MISHIKO TU KWA KWENDA MBELE
ReplyDelete