AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mfano hai hapa Tanzania ni Jamii Forum! Wengi tunaufahamu kwa umahiri wake wa mijadala mbali mbali na zaidi ya kisiasa, ukiwa kama mtandao wa kwanza wa jamii wenye mizizi yake Tanzania kupata kukubalika na watu wenye hulka tofauti. Kitu ambacho wengi wetu hatujui ni.....Ni Nani Alie Nyuma ya Injini za JamiiForums?
Leo tunawaletea mmoja wa vinara wanaoiweka JF hewani na kutupa sisi uwezo kujinafasi, Mjasiriamali Kijana, Mtanashati na Mwenye akili za Kipekee.....Bw. Mike Mushi!
#MikeMushi ni nani? Katokes wapi? Nini ndoto zake? Tutegemee nini kutoka kwake na timu yake siku za karibuni? Na nini nafasi ya JF katika harakati za uchaguzi na maamuzi ya katiba mwaka 2015?
Jiunge nasi saa 3:30 usiku, EATV, kwani Salama, Mubah na John....hawataacha kigae bila kukipindua!
Source: MkasiTV
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK