Mike Mushi wa Mmoja wa Waasisi wa JamiiForums kwenye kipindi cha MKASI

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Katika ulimwengu huu wa Teknolojia ya Habari na Mawasiliano, fursa nyingi zimejitokeza katika jamii yetu! Moja ni uharaka wa kusambaa kwa habari, njema au mbaya; upatikanaji wa jukwaa la watu kutoa maoni yao....lakini la zaidi....imefungua nafasi lukuki za vijana kujiajiri na kuajiri mamia kama sio maelfu ya wengine..

Mfano hai hapa Tanzania ni Jamii Forum! Wengi tunaufahamu kwa umahiri wake wa mijadala mbali mbali na zaidi ya kisiasa, ukiwa kama mtandao wa kwanza wa jamii wenye mizizi yake Tanzania kupata kukubalika na watu wenye hulka tofauti. Kitu ambacho wengi wetu hatujui ni.....Ni Nani Alie Nyuma ya Injini za JamiiForums?

Leo tunawaletea mmoja wa vinara wanaoiweka JF hewani na kutupa sisi uwezo kujinafasi, Mjasiriamali Kijana, Mtanashati na Mwenye akili za Kipekee.....Bw. Mike Mushi!

‪#‎MikeMushi‬ ni nani? Katokes wapi? Nini ndoto zake? Tutegemee nini kutoka kwake na timu yake siku za karibuni? Na nini nafasi ya JF katika harakati za uchaguzi na maamuzi ya katiba mwaka 2015?

Jiunge nasi saa 3:30 usiku, EATV, kwani Salama, Mubah na John....hawataacha kigae bila kukipindua!

Source: MkasiTV

----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad