Mpenzi Wangu Ananitaka Kinyume na Maumbile Nikiwa Katika Siku zangu

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Dunia hii imejaa vituko jamani, kila ukisema kuwa umeona jambo la kituko unachodhania ni kikali zaidi, basi siku ijayo kinaibuka kingine kikubwa zaidi. Hebu soma mkasa wa dada Grace hapa chini halafu tusaidiane kumshauri

Dear Admin,
Nawapongeza kwa kazi nzuri mnayofanya ya kuendesha website hii, na umahiri wenu ndio umenisukuma leo hii nijitokeze hapa nikiomba ushauri kwa wasomaji wenu mahiri na wenye kustaarabika, maana huwa hakuandikwi mambo ya ajabu ajabu hapo.
Mimi ni binti mwenye umri wa miaka 24, nina mpenzi wangu ambaye hivi sasa tuna miezi takriban minne toka tuanze mahusiano yetu. Ni kijana mtanashati na mwenye kujimudu kwa upande wa kipato na kwakweli amekuwa msaada mkubwa sana kwangu na kwa familia yangu pale ambapo nimekuwa nikimshirikisha, ingawa sio sana kwasababu nami namiliki biashara zangu na zinanitosheleza kimahitaji ya lazima kwa ujumla.
Tatizo langu sasa kwa huyu mpenzi ni kuwa, yeye anapenda sana kushiriki tendo la ndoa. Yaani karibu kila siku yeye anataka tufanye hicho kitu na ikitokea siku hiyo anataka na niko kwenye mzunguko wa zile siku za wanawake, basi hunilazimisha tufanye hata kwa kutumia mpira. Tabia hii kwakweli imekuwa ikinikera sana, maana ni kama vile anataka kunitumia tu kama chombo chake cha starehe na wala sio kama mwenza wake na ninayehitaji pia kujaliwa.
Kilichonisukuma kuibuka kuomba ushauri leo hii ni kwamba, wiki jana nilikuwa kwenye siku zangu, na kama ilivyokuwa ada ya jamaa, akanijia siku hiyo akitaka tufanye mapenzi, mie nikamkatalia katakata maana nishaona namuendekeza sana, unajua alinijibu nini, eti “kama unaona unaumia kufanya hivyo ukiwa kwenye siku zako, basi uwe unanipa penzi kinyume cha maumbile” kha!!

Yaani niliishiwa nguvu, nikajiondokea zangu kwake na kwenda kwa rafiki yangu ambako niko hadi leo. Sasa najiuliza, huyu mwenzangu ana akili timamu kweli? Je, ananipenda au anataka kunitumia tu? Au ana ugonjwa fulani labda wataalamu wa tiba waniambie.
Natanguliza shukrani, naamini nitashauriwa juu ya hili.
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

7 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. Utandawazi huo una wasumbua

    ReplyDelete
  2. hakufai huyo...tena bora umeshtukia mchezo mapemaaaaa

    ReplyDelete
  3. mpe tuu tako kwani kuna shida gani

    ReplyDelete
  4. Mbona moja ya starehe tosha! sasa kipi kilichokushangaza hapo! hebu jaribu kisha uone raha zake na daima hatakuwacha na uzuri zaidi pale wakati wa tendo lenyewe fanya kama unataka kujamba uone utakavyomtia wazimu. khaa 2 utanena.

    ReplyDelete
  5. We nae mna miezi mi4 ushahamia kwake,kha! Unajirahisisha sana Acha akuombe tako tu

    ReplyDelete
  6. Dada umelifuga tako kubwa laini kama hilo kwa fikira yako tu kiukweli mwanaume ukipishana naye ndiyo lazima alikodolee macho hilo tako lako na akipata nafasi ya kukutana nawe kimapenzi kukuomba ndogo ni lazima

    ReplyDelete
  7. Mna miezi minne tu ushafanya Mambo yote hayo kama mna miaka!!!!

    ReplyDelete

Top Post Ad