Mrembo Bongo Movies Atamani Kupata Mtoto..ila Wakumpa Mimba Ndio Shida..Changamkia Dili

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Staa wa filamu za Kibongo, Tiko Hassan amesema kuwa anatamani kupata mtoto wa pili kwa sababu mtoto wake wa kwanza amefikisha miaka 10, tatizo hana wa kuzaa naye.

Akipiga stori na Mwandishi Tiko alisema yeye ni ‘mgonjwa’ wa watoto wachanga na anahisi sasa ni muda muafaka ila tatizo mwanaume aliyenaye hana mpango wa kupata mtoto.

“Yaani acha tu, mpenzi niliyenaye naona kama hajajiandaa maana hata nikiongelea ishu ya kubeba mimba, naona ananipotezea lakini kiukweli nahitaji mtoto wa pili,” alisema Tiko.

Haya Wadau wa Zali la Mental Mpo ?
-------------
You build on failure. You use it as a stepping stone. Close the door on the past. You don't try to forget the mistakes, but you don't dwell on it. You don't let it have any of your energy, or any of your time, or any of your space.
By Johnny Cash

Share Your Comment Below Using Facebook or Blogger Comment Box
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

3 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. Tusidanganyane huyo ni muuza nyago tu na kutafuta umaarufu mtandaoni

    ReplyDelete
  2. utanafuta kiki Tu

    ReplyDelete
  3. limbukeni mkubwa wee... kwani mwanaume wa kukuzalisha anapatikana kwa njia ya mtandao.? hao unaowavulia chupi ndiyo hao hao wakuzalishe...

    ReplyDelete

Top Post Ad