AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mwigizaji Nguli wa Bongo Movies Amejibu Swali Aliloulizwa Kuhusu Kufanya Movies na Waigizaji wa Nje ili apenye Kimataifa...Jibu lake hili Hapa:
“Jana nilikuwa najibu maswali ya wadau wa jerusalem.wengi wanapenda kuniona kimataifa.niliahidi kulijibu leo...ndugu zangu kwanza nashukuru kwa kuniona nafaa kuwawakilisha kimataifa.lakini mwenzenu umri umekwenda.kitaalamu umri mzuri wa kuanza utafutaji ni20-35.nina zaidi ya 40.nguvu zimepungua.ndio maana akili yangu naiweka zaidi kuwa producer kupitia Jerusalem zaidi kuliko kuigiza.ndoto zangu ni kuifanya kampuni hii iwe kubwa africa.na hao waigizaji wa nje watamani kufanya kazi nasi.lengo ni filam yetu moja kuuzwa zaidi ya bilion1.inawezekana kwa sababu soko lipo.mchakato umeshaanza subirini.soko halitafutwi linajengwa.tuamke,tusifikiri kikawaida tufikiri tofauti.In Jesus Name. ..” JB alimaliza.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
AMEN!
ReplyDeleteHizo ni ndoto tu!!
ReplyDeleteJB ! JB ! inamaana unawazidi umri kina Olu Jacobs, Pete Edochie wa Nigeria ambao wanapeta kimataifa ?
ReplyDelete