AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
"Tumepokea malalamiko ya kukashifiwa na kutukanwa hadharani Mwadhama Kaldinari Polycarp Pengo ambaye ni kiongozi wa Kanisa Katoliki nchini Tanzania. Kupitia mitandao mbalimbali ya kijamii kama vile WhatsApp na mingineyo kuna sauti iliyorekodiwa (audio) na picha za video (Video Clip) zikimuonyesha Askofu Gwajima akimkashfu na kumtukana kwa maneno makali Kaldinari Pengo katika hali ambayo pia imewaudhi watu wengine".
Baada ya tukio hilo juhudi mbalimbali zimekuwa zikifanyika katika hali ya kawaida ili kumpata Askofu Gwajima bila mafanikio na hivyo yeye mwenyewe sasa anatakiwa aende akaripoti haraka kwa Mkuu wa Upelelezi wa Kanda Maalum ya Dar es Salaam bila kukosa.
Ni muhimu sana kwa Askofu Josephat Gwajima kuripoti yeye mwenyewe badala ya Kutafutwa au kukamatwa ili ajibu tuhuma hizo kutokana na nafasi yake katika jamii.
Jalada la uchunguzi limefunguliwa na upelelezi wa shauri hili unaendelea ili sheria ichukue mkondo wake.
Imetolewa na:
S. H. KOVA,
KAMISHNA WA POLISI KANDA MAALUM
DAR ES SALAAM
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
MHH...KIMENUKAA
ReplyDeleteAngemtukana Imam ndio KINGENUKA HALAFU KIKANUKIA!!!!
ReplyDeleteWEE ACHA VIASHIRIA VYA UDINI. VIBAYA!!!
Deletehuyu si bure mapepo yake yanamrudia..m2 mwenye akili timamu hawezi kuongea maneno mabaya vile halafu mtumishi gani wa Mungu analindwa na walinzi haaa haaaa ifiike kipindi waumini jmn muangalie na sehemu za kuabudu khaaa..huyu ni chizi maneno yake ya ovyo eti mtumishi wa Mungu khaaaa
ReplyDeleteGwajima msanii komedi, hafai hata kuchambia
ReplyDeleteMlivyomtesa Mbasha Sasa yanawarudia. Chezea malipo ni hapahapa.
ReplyDelete