AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Udaku Special TV inakuletea Mahojiano tuliyoyafanya na Mwanamuziki na Mwigizaji Mwenye Skendo Nyingi Bongo..Tulimweka Mguu Kati na Kumbana Vilivyo na Kuweza Kufunguka Kwanini Anatumia Poda na Lipshine za Kike pia Kuhusu Ndoa aliyohaidi 2014 kubuma na mwisho alisema kwanini anapendwa na Wadada mpaka muda mwingine kumgombania
ANGALIA VIDEO FUPI HAPA CHINI AKIFUNGUKA UKWELI WAKE:
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Dah dunia inaenda pabaya mtoto wa kiume anajisifia kupaka make up na lipshine then unajisifia wanawake wanakupenda hili ndo tatizo la hawa wanaojiita mastar bongo hawana ile akili ya kujielezea pumbaaaav haya kesho uje kujisifu unavaa bikini sawa
ReplyDelete