AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Soma Hapa Alichosema:
'No Filter,No Make Up!Mapaja bado yananitesa sana ila najua nitafika safari yangu ya kupunguza uzito hadi nifike mkoa wa kilo 65........Bado Njia ni ndefu na safari ndo kwanza imeanza ila ninachojua ni kwamba ukitaka chochote kizuri maishano ni lazma ukitolee jasho!ma ndio ninachofanya!Hakika nitafika!
20kg to go!Safari ya kupunguza mwili bado inaendelea!nashukuru nimeanza kuona mwanga mbele yangu!Si rahisi ila nimezoea kupambana na lolote mbele yangu na na uhakika ntashinda na hili pia!Am doing ths for all my fans around the world!' Ray C
Unamshauri Nini Ray C Kuhusu Huo Upaja?
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
huyu teja naye
ReplyDeleteNinacho mshauri ray c afanye mazoezi, apunguze vyakula vya mafuta, napia afatilie vyakula vinavyo weza kupunguza mafuta mwilini katika blog hii www.dietdevelopers.blogspot.com
ReplyDeletekupasha ndio mpango mzima...
ReplyDelete