AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Bikira wa Kisukuma Ameandika Hivi Kwenye Page yake ya Instagram:
WHAT MORE CAN I SAY...
"Kuna Mstari kwenye Biblia ninaupenda,LUKA 9:60 Inasema WAACHE WAFU WAZIKE WAFU WENZAO,LAKINI WEWE NENDA KAUTANGAZE UFALME WA MUNGU.
Mstari huu simply means,Ukiamua kufanya Jambo usikubali kuyumbishwa na CHOCHOTE KILE..
Nina mengi ya kuongea kuhusu wewe ila nitajaza gazeti,lakini Kabla Hujafa ACHA NISEME maana hakuna Faida kuisifia Maiti isiyosikia wakati leo uko hai unasikia Ngoja tuseme...Hakuna kitu kizuri kama kugusa maisha ya mtu,ni zaidi ya kumpa mtu huyo Fedha na Ukwasi..A touched life is a changed life,forever..Najua umegusa maisha ya watu wengi sana,wengine tulijifunza kusema ASANTE...Niseme asante kwa kugusa maisha yangu pia kwa muda ambao sikutegemea..Umeniamini na umenifanya nijiamini zaidi..Sikuwahi kutegemea Siku 1 ntakuwa Redioni japo nilijua Kipaji cha Kuongea ninacho but You have made it possible...Its 2weeks now tuko pamoja pale UBAONI on EFM RADIO Saa9 hadi 1 usiku nikijifunza na kupata Uzoefu wako lakini I feel like I have been there for years,Comfortable kama Mzoefu wa miaka mingi.Umeingia kwenye Rekodi zangu kwa kugundua Kipaji changu na umeiokota Almasi Mchangani haikuwa imeshtukiwa tu....Ur an amazing person with pure love and Honesty,Ur a blessing,A Hero,A brother,A friend,and A True Mentor...
Mungu akubariki as u keep blessing others katika dunia hii..
HAPPY BIRTHDAY KWAKO GARDNER"
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
GOOD BOY!!! KEEP IT UP!
ReplyDelete