AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
“Ewe kipini....kipini kipuli kipuli...kiheren kihereni umenijazia inzi kwenye akauni yangu yangu lakini kipini nivumilie nimalize hii Movie na we utapumzika lakini kipini nilivyokuhusudu naunaendana na kabila la Mama yangu upande wa bibi mza mama Masai basi nitakufkria eidha uwe ndonya yangu yakudumu au nitakutoa lakini kwakua ni asili yangu namnyaki mimi nitakuwacha nakukuhusudu nakukupa kipaumbele kama hivyo vilips hapo
Jaman Am Solee muwe mnauliza kwanza kumbukeni sana ni kazi yangu nahicho kipini hapo kinaniingizia HELA nasijatoboa nimeweka tu kwahyo kipini hiki kiacheni kama kilivyo yani ata nikimaliza hii Movie kwa kuwa maongezi yamekuwa mengi mara ng'ombe mara ndonya basi acha nimfutaishe koko wangu mmasai kudumisha mila yake Am soleee gangoswee muachieni ngosweee ujatumwa kucoment wala kutoa ushauri nasaa hapa”.-Wolper ameandika mtandaoni.
Nadhani imeeleweka, yupo kwenye utengenezaji wa MOVIE ila pia anaweza kukiacha.
Mzee wa Ubuyu
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
wanawake bongo mnapenda kuiga culture ambazo sio za kwenu duuu, very sad.
ReplyDeleteHii culture mbona na huku kwetu Africa ipo, labda kwa kuwa vipini ni vimechongwa kwa miti, sio vya dhahabu, na vile vipini vya miti vilivyokuwa vinavaliwa na wamakonde, hasa mabibi na mababu,vinaningnia puani kwa siku hizi sio sana, labda huko vijijini ndani ndani kama mtwara, labda waweza kuwa kuta,
ReplyDelete