Waigizaji Bondi, Aunty Lulu Wapashana na Kupeana Vidogo Wazi Wazi..Hawa Walikuwa Wapenzi Wakatemana

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Anti Lulu na Mr Bond Enzi za Mapenzi yao
Mastaa wa Bongo Movies  na watangazaji waliowahi kuwa wapenzi, Bondi Bin Suleiman na Lulu Semagongo ‘Aunty Lulu’ hivi karibuni walipashana baada ya kila mmoja kumdhihaki mwenzake kuwa hana kazi anayofanya mjini.

Bondi alisema kitu kikubwa anachokifanya Aunty Lulu ni kubadilisha wanaume ndiyo sababu ya kushindwa kuendelea na kazi yake ya utangazaji na filamu, akiishia kudanganya kuwa yeye ni mjasiriamali.

Lakini Aunty Lulu naye alijibu tuhuma hizo akisema mwandani wake huyo wa zamani atakuwa anatafuta kitu kutoka kwake, kwani kama ni kazi, hata yeye mwenyewe hana anachokifanya mjini zaidi ya kuuza sura kwani kama anaringia utangazaji, yeye ndiye alimtafutia kazi hiyo.
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad