Agness Masogange Ajibu Maswali Kuhusu Tuhuma za Kufukuzwa South Africa, Kazi Anayoifanya South Africa, Kuhusu Mtoto Wake na Kuhusu Boifriend

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Q1. Tulisikiaga umepata uraia wa south na ulisema hutorudi bongo ....mbona umerudi ghafla na kuna madai umetimuliwa ukweli ni upi?
.
AGGY:Hapa ni home hata iweje so ninapojiskia hamu ya kurudi narudi lkn sauz ndo sehemu ya kufanyia biashara zangu..
.
Q2: unafanya biashara gani ambayo watu hawaioni?.
.
AGGY:Sio lazima kila unachofanya lazima watu wajue, unachotakiwa kujua ni kwamba nafanya biashara zangu kule.
.
Q3: Tulisikia umepata mchumba huko south na ndo anayekupa jeuri ya kwenda na kuishi south.
.
AGGY:Ni kweli nina mchumba lakini hata nikienda kule siishi kwake nakaa kwangu na najilipia kodi mwenyewe
.
Q4: ulikuwa na mwanaume wako hapa bongo ambaye alikuwa anakupenda sana anaitwa Evance ilikuwaje ukammwaga??.
.
AGGY:Unajua kila mtu anapoamua kufanya jambo anakuwa ana sababu zakw mi naona Mungu tu akuamua tuwe pamoja hadi leo.
.
Q5: Hivi karibuni mtandao mmoja ulikuandika ww ndiye mwanamke mwenye shepu hatari africa mashariki je uliichukuliaje ile habari?
.
AGGY:Ahahahaaa nilijiskia vizuri na pia nilicheka sana nikajiuliza walinijuaje?
.
Q6: unasema sshv makazi yako ni south je ukipata mchumba bongo utakubali kurudi na kufunga nae ndoa?
.
AGGY: Hakuna mtu anayenizuia huko south km ntaridhika nae kwanini nisirudi?
.
Q7: wewe una mtoto lkn hujawahi kumpost hata siku moja km unavyopost zako na km mastar wenzio wanavyopoa watoto zao kwanini?
.
AGGY: Unajua unapozaa mtoto anakuwa sio mali yako pekeyako kuna babake pia ..siwezi kufanya hivyo kwa kuwa babake hapendi..
.
Q8: Hili suala la wewe kukamatwa na unga limewashitua wengi unawashauri nini wasichana wanaoifanya au wanaotaka kufanya hii deal?.
.
AGGY: Ni suala la kujitambua na kufikiri kabla ya kufanya ile sio kazi ya kufanya kwakuwa ukikamatwa majuto ni lazima
.
Q9: Tunajua ww hauna ttzo la kutozaa sbb tayari una mtoto je una mpango wa kupata mwingine?
.
AGGY: Kwa sasa sina mpango huo labda baadae sanaaa..
.
Q10: kwa sasa huonekani ktk video za muziki km zaman (video queen)vp au umeacha hii kazi
.
AGGY: Sijaacha na siwezi kuacha sema tu sijapata hilo deal kikubwa ni maslahi tu

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

1 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad