AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mgeni rasmi ni balozi wa Jumuiya ya ulaya. Shughuli hiyo itafanyika asubuhi hii katika ukumbi wa Blue Pearl Ubungo Plaza.
Akihutubia huko Muhambwe Kigoma juzi David Kafulila alilaani wanasiasa wanaotaka kudandia hoja ya Escrow ili kujipatia umaarufu huku wakiwa hawana hadhi yoyote kuzungumzia hoja hiyo.
Kafulila pia aliwataka wananchi kuhakikisha wanachagua wagombea wote wanaotokana na UKAWA kwenye uchaguzi mkuu ujao.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
SIO TAASISI ILIFUNGIWA USAJIRI???
ReplyDelete