David Kafulila atunukiwa Tuzo kwa hoja ya Escrow

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Mbunge wa Kigoma Kusini David Kafulila anapewa award na taasisi ya HUMAN RIGHTS DEFENDERS kwa kazi ya escrow.

Mgeni rasmi ni balozi wa Jumuiya ya ulaya. Shughuli hiyo itafanyika asubuhi hii katika ukumbi wa Blue Pearl Ubungo Plaza.

Akihutubia huko Muhambwe Kigoma juzi David Kafulila alilaani wanasiasa wanaotaka kudandia hoja ya Escrow ili kujipatia umaarufu huku wakiwa hawana hadhi yoyote kuzungumzia hoja hiyo.

Kafulila pia aliwataka wananchi kuhakikisha wanachagua wagombea wote wanaotokana na UKAWA kwenye uchaguzi mkuu ujao.
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

1 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad