AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Aidha injinia huyu wa majengo amesema japo nyumba inaonekana ina marembo mengi na nzuri lakini kama nayo ilijengwa kwa ratio hiyo iliyotumika kujenga ukuta basi kuna hatari ya nyumba yote kuanguka hapo baadae , Injinia huyo amemshauri Diamond Kuleta wataalamu na kuipima nyumba yote ili isije kuleta madhara makubwa
Diamond alifuatwa na kuambiwa lakini mwenyewe alisema kuwa fundi aliyejenga ukuta ni tofauti na aliyejenga nyumba hivyo anaamini nyumba ilijengwa katika ratio nzuri..
Udaku Special Blog
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
domo kuwa mbishi tu, siku moja utakuta nyumba yote chini, hawa mafundi wa siku hizi hamna kitu wao ni pesa tu!
ReplyDeleteHe kumbe kweli ukuta ulianguka? Sasa timu naniliu walikuwa wanabisha na kutukana watu kuwa si kweli haya kiko wapi sasa. Moja baada ya nyingine, leo ukuta, kesho baba wa mtoto atakuja kudai mwanae, keshokutwa?????
ReplyDelete