AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mkurugenzi wa Msama Promotion, Alex Msama ametoa onyo kwa kikundi cha watu kilichojipanga kumzomea Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard Membe atakayekuwa mgeni rasmi wa Tamasha la Pasaka linalotarajiwa kufanyika hii leo katika Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.
Akizungumza na mwandishi jana, Msama alisema kuwa amepata taarifa kuhusu uwapo wa mashabiki wa mwanasiasa mmoja, ambao wamenunua tiketi nyingi kwa lengo la kuzomea
-------------------
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
INTERNSHIP VACANCIES
GOVERNMENT VACANCIES
NGO'S VACANCIES
GOODLUCK