Kundi Laandaliwa Kumzomea Benard Membe Tamasha la Pasaka

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Mkurugenzi wa ‪‎Msama‬ Promotion, Alex Msama ametoa onyo kwa kikundi cha watu kilichojipanga kumzomea Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, ‪‎Bernard‬ Membe atakayekuwa mgeni rasmi wa Tamasha la ‪‎Pasaka‬ linalotarajiwa kufanyika hii leo katika Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.

Akizungumza na mwandishi jana, Msama alisema kuwa amepata taarifa kuhusu uwapo wa mashabiki wa mwanasiasa mmoja, ambao wamenunua tiketi nyingi kwa lengo la kuzomea
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad