AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
“Ukiwa kama Binadamu kila jambo ukitaka kulisambaza kwanza tafakari katika nafsi yako, je huyo unayemtenda hana maumivu kama mwanadamu, tumekuwa mabingwa wa kuwaumiza wengine kupitia mitandao ya kijamii bila huruma,”
“Sijui kuna mtu anayeombea maumivu kila mara kwani iwe Lulu kila jambo baya, na asiwe mtu mwingine hiyo inaonyesha hata wanaojiita marafiki zangu waweza kuwa maadui zangu,”anasema Lulu.
Lulu anasema kuwa kuharibu ni rahisi sana kuliko kujenga kwani mara nyingi habari za kujenga ubaya zinasambaa sana kuliko wema, lakini anaamini kuwa Mungu ndio kila kitu na ajua ukweli wa kila jambo na hawezi kumhukumu mtu yoyote.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
acha ujinga na kujiongelesha kama mjinga ile picha na marehemu ilikuwaje
ReplyDeleteJARIBU KUJIWEKA MBALI NA MITANDAO UTAFANIKIWA HIYO MAMBO YA KUJISHEBEDUA MITANDAONI ITAKUMALIZA. BORA KUJIEPUSHA NA HILO JINAMIZI BADO LINAKUZUNGUKA NA MUOMBE SANA MUNGU WAKO
ReplyDeleteHivi Lulu hujui malipo ni hapa hapa duniani? wewe ulivyojibebesha mme wa mtu na kuanza kuhangaika naye waganga na kila aina hukujui huwa yana mwisho? pole umri na mambo yako ni vitu viwili tofauti kabisa khaaa sasa ukifikisha miaka 30 itakuwa je? si utaandikwa kwenye kitabu cha Guinness.... shame on you hata ningekuwa ndugu yako hakika nisingethubutu kusema your my relative phuuu
ReplyDeleteUlizidi sana kujitangaza kwenye mitandao, kujionyesha na kujivuna na ustaa wako na kujisahahu kama unabiriwa na kesi ya mauaji... ingawa uliachiliwa huru utajipa kifungo cha ndani wewe mwenyewe. Binaadamu wataendelea kukuhukumu, jambo hilo huwezikulizuia. Ulitakiwa kukaa kimya kujiweka mbali na mitandao ya kijamii kwani ulijisahahu sana....Pole sana binti kwa yanayokukuta
ReplyDeleteAnae hukumu ni mungu pekee nasio binadam hivyo basi mabaya ya lulu na mazuri ya lulu ni mungu pekee ndio anayejua, huenda wanao mtuhum huyu mtoto ndio wanahukum kubwa kwa mungu kuliko wanavyofikilia, mwacheni mtoto wawatu aendelee na masomo yake (hakuna aliye mkamilifu hapa duniani).
ReplyDelete