Ommy Dimpoz: Hakuna kitu ninachokipenda kama kurusha fedha, mikufu kwa mashabiki wangu nikiwa jukwaani

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Kila msanii hua na mzuka wake awapo jukwaani, hasa mashabiki wakiwa nyomi na shangwe zikitawala. Kwa upande Omary “Ommy Dimpoz” Nyembo mzuka wake huwa ni kuwarushia zawadi mashabiki wake.

Muimbaji huyo wa ‘Wanjera’ amesema kuwa hupenda kuwarushia vitu vyake mashabiki awapo jukwaani, kama ishara ya upendo wake kwao kutokana na kusupport kazi zake.

“Hakuna kitu ninachokipenda kama kurusha vitu vyangu mashabiki wangu nikiwa jukwaani hii inaonyesha jinsi gani nawapenda, lakini pia inaongeza burudani kwao huku wakiendelea kupenda shoo yangu na muziki wangu kwa ujumla,’’ Dimpoz aliliambia gazeti la Mtanzania.

Aliongeza kwamba kufanya hivyo kunamuongezea mashabiki na ufuatiliaji wa muziki anaofanya na wengi wao humfuatilia ili kujua maisha yake kwa ujumla.

Source: Mtanzania
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad