AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Huyu mtu ameshindwa ujanja mdogo wa kutengeneza kivuli, kwa sababu nyumba inaonyesha kivuli, mtengenezaji amembanananisha sana na ground floor wakati nyoka huwa ni wa mviringo , kuna mambo wengi tu yakuonyesha kuwa amefeli.
Ni hayo wasimwonee wivu mtoto wa wenzie, kapata kiharali.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Jamaa kaitoa Youtube! Ya miaka mingi sana hiyo!!! Usipende kutudanganya!!
ReplyDeletewaafrika ndio maana tuko nyuma mwenzio akifanikiwa badala ukae nae karibu akupe mbinu alizotumia mpaka akafanikiwa wewe unahangaika kuonyesha kuwa mafanikio hayo sio ya halali.Halafu wewe uliyefanya hicho kitendo nenda MOMBASA UKAUZE TIGO KWA SABABU HUNA UTASHI WOWOTE
ReplyDeleteKwa hali hii alibino wataendelea kuuwawa Sana kwa sababau watu haawamini Kama wanaweza kupata maendeleo bila nguvu za giza watu wanatakiwa wabadilike.
ReplyDeleteTENA WATANZANIA NDO TUMEZIDI!! WIVU MCHAFU SANA. YAANI MNAHANGAIKA KUMUHARIBIA DIAMOND BADALA YA KUMSAPOTI NA KUMUULIZA AMEFIKA HAPO ALIPO. JAMANI TUACHENI ROHO MBAYA. WABONGO TUMEZIDI.
ReplyDelete