Stanbic Bank Yakwama Kutaja Majina ya Waliochota Pesa za Escrow Kwa Malumbesa na Rambo, Yatimua Wafanyakazi Kadhaa

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Taarifa za ndani ya Stanbic zinadai kuwa benki hiyo imeshindwa kutaja majina ya waliochota mabilioni ya Escrow kwa Malumbesa na Rambo. Taarifa hizo zinadai kuwa, pamoja na kuwepo kwa nia hiyo, benki hiyo ilikumbana na vikwazo vya ndani na nje ya benki hiyo hadi kukubali kukaa kimya. Ilipangwa kuwa,majina ya waliochota mabilioni ya Escrow kupitia miamala ya Stanbic yangewekwa hadharani hadi kufikia Aprili 1,2015.

Hatahivyo, Stanbic inadaiwa kuwatimua kazi wafanyakazi mbalimbali waliohusishwa na miamala hiyo iliyokuwa na harufu na tuhuma za ufisadi. Wafanyakazi hao ni wa ngazi na kada mbalimbali ndani ya Stanbic. Huu ndiyo mwisho wa filamu ya kujulikana kwa waliochota mabilioni ya Escrow kwa lumbesa na rambo? Tujipe moyo!

By Mzee Tupatupa wa Lumumba,Dar es Salaam
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

1 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad