AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Wananchi wa eneo hilo nao wamepigwa na butwaa kwa tukio hilo. Taarifa zaidi zinasema Mwalimu huyo amedhamiria kuomba uhamisho wa haraka sana kutoka katika eneo hilo kwa sababu inaonekana wenyeji hawamtaki kutokana na yeye kushirikiana na serikali ya Kijiji kuwakamata wazazi wote ambao wanawaachisha shule watoto wao ili kuolewa.
Baadhi ya Waandishi waliopo mkoani humo wamesema wanafuatilia tukio hilo ingawa hadi sasa Polisi mkoani humo bado hawajathibitisha tukio hilo.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
ukistaajabu ya mussa utaona ya fir auni
ReplyDeletewatu weusi ndio maana hatuendelei tutakuwa watumwa kwa watu weupe mpaka basi kwa mambo kama haya!! mtu atajitahidi kuwapa elimu mnafanyia ushirkana ile aondeke!!! wanamtisha ile aondoke. wee mwalimu ondoka zako usije ukauawa bure kwa watu wasiona shukurani!!! nakushangaa unasubiri uamisho
ReplyDeleteelimikeni wazazi wa wanafunzi wa shule ya lindi, achene mambo yenu ya kishirikina hayo hayatasaidia.
ReplyDelete