AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Diamond alitoa kauli hiyo kwenye 255 ya XXL kupitia kituo cha redio cha Clouds FM.
“Unajua huwezi kuwalaumu tu Wanigeria, wao walitumia taaluma yao na technique zao ili kuteka soko, sasa ukionekana unamind utaonekana pia hauna akili ya kibiashara,” alisema.
“Cha muhimu nikuhahakikisha unatoa nyimbo kali ambayo itasikika yako na kuifunika hizo za Nigeria.
“Tunatakiwa wasanii wa bongo kutoa ngoma kali ili mashabiki wapende maana huwezi kumzuia Dj asipige nyimbo za Nigeria maana mashabiki wanaomba inabidi na sisi tufanye hivyo ili uombwe muziki wetu zaidi. Mfano zamani zilikuwa zinafanya vizuri nyimbo za Kongo lakini baada ya kuanza kutoa ngoma kali sasa hivi huzisikii tena kama zamani.
"Inabidi pia sasa hivi tufanye hivyo tusilalamikie ma Dj tu, naamini sasa hivi muziki wa Tanzania umeshakua. Kinachotakiwa ni kuzuia soko la nje lisiteke muziki wa Bongo kwa kutoa kazi nzuri zaidi,” alisisitiza.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK