Jackie Chandiru Avunja Ndoa ya mtu..Afunga Ndoa na Mume wa Mtu

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Siku chache tu baada ya msanii wa muziki Jackie Chandiru wa nchini Uganda kufunga ndoa na mumewe ambaye ni raia wa kigeni Van Vliet, imegundulika kuwa, mwanaume huyo tayari alikuwa na ndoa na mrembo Adut Mawien.

Taarifa hizi zimeibuka na kuwaacha midomo wazi mashabiki wa Jackie, hasa kutokana na kurasa za mitandao ya kijamii za mumewe huyo mpya, kuendelea kuwa na picha na kumbukumbu za Adut ambaye ni mwanamitindo kutoka Sudan Kusini ambaye mpaka sasa, hakuna kithibitisho kuwa waliachana.

Kuibuka kwa taarifa hizi, kunamrudisha Jackie katika historia ya kutoka na waume za watu, rekodi zikionesha kuwepo kwa ugomvi mkubwa kipindi cha nyuma kati yake na mke wa Caleb Alaka, mwanaume ambaye aliingia naye penzini licha ya kuwa ni mtu mwenye familia.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad