Lucy Komba: Tuna Zamu ya Kupika na Mume Wangu

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Mkongwe wa sinema za Kibongo ambaye amekita makazi yake nchini Denmark , Lucy Komba ameweka bayana kuwa katika suala la mapishi anapokuwa nyumbani, huwa wanawekeana zamu ya kupika na mumewe.
Lucy Komba akiwa katika pozi na mumewe .
Lucy alivujisha taarifa hiyo baada ya mwanahabari wetu kumuuliza juu ya ratiba zake za mapishi anapokuwa nyumbani ndipo alifunguka :
“Huwa tunawekeana zamu ya kupika na mume wangu, mfano kama leo , mimi nipo nyumbani lakini sipiki namsubiri atoke kwenye mihangaiko yake aje apike , huku ndivyo mambo yanavyokwenda tofauti kidogo na huko nyumbani (Bongo ) kwamba mwanamke pekee ndiye mwenye jukumu la kupika.”
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad