AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Jamaa Anayejulikana kama Godfrey_ck huko Instagram Ameibuka na Kudai alishuhudia tukio la Kajala Kupigwa Chupa Akiwa Club ..Kijana Huyo Amedai sababu kubwa iliyosababisha kajala kupigwa Chupa ni Baada ya Kushikwa Makalio na Shabiki mmoja alipokuwa akitoka Club, Kajala kwa Hasira aligeuka na Kumrushia kibao huyo kaka , kaka wa watu nae alikuwa ameshika chupa ya bia kwa hasira nae akampiga nayo usoni....Kama ni kweli basi haya meneno mengine yanayozushwa mtaaani kwamba ni Team Naniliu ndio wamefanya hivyo sio ya Kweli ..bali ni Ugomvi tu wa Kawaida ulitokea na kuamsha hasira za hao wawili .....
----
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
-------------------
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
INTERNSHIP VACANCIES
GOVERNMENT VACANCIES
NGO'S VACANCIES
GOODLUCK