Tangazo la Nafasi za Masomo na Fursa za Ajira Kwa Kijana wa Kitanzania

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

·    
  Wewe   ni  kijana  wa  kitanzania ?

·       Unapenda  kufanya  kazi  kama      MUANDAAJI  NA  MTAYARISHAJI  WA  VYAKULA-LISHE  MAALUMU  KWA  WAGONJWA  NA  WENYE  KUSUMBULIWA  NA  MATATIZO MBALIMBALI  YA  KIAFYA  ?

Kama  jibu  ni  ndio, basi  hii  ni  habari  njema  sana  kwako.

Chuo  cha   NEEMA  INSTITUTE  OF  HERBALISM  &  NUTRITIONAL  SCIENCE
 (  NEEMA  HERBALIST  COLLEGE ) ,  kinatangaza  nafasi  za  kujiunga  na  kozi ya   CHETI  CHA  UANDAAJI NA  UTAYARISHAJI  WA  VYAKULA-LISHE  MAALUMU  KWA  WAGONJWA  NA  WENYE  KUSUMBULIWA  NA  MATATIZO  MBALIMBALI  YA  KIAFYA  yaani BASIC   CERTIFICATE  IN  FOODS  AND  NUTRITION.

Wahitimu   watakao  fanya  vizuri  katika  kozi  hii, watapata  nafasi  ya  kazi  ya  UANDAAJI NA UTAYARISHAJI  WA  VYAKULA-LISHE  MAALUMU  KWA  WAGONJWA NA  WENYE  KUSUMBULIWA  NA  MATATIZO  MBALIMBALI  YA  KIAFYA  katika  maeneo mbalimbali,kama  vile  :

1.   KWENYE  MAHOTELI MBALIMBALI  YA  NDANI  NA  NJE  YA  DAR  ES SALAAM.

2.   KWENYE  MIGAHAWA  MBALIMBALI.
3.   KWENYE  SHULE  MBALIMBALI  ZA  CHEKECHEA,MSINGI  NA  SEKONDARI.

4. KWENYE  VYUO  NA TAASISI MBALIMBALI  ZA ELIMU  YA  JUU.
5. KWENYE VITUO  VYA  KULELEA  WATOTO  WADOGO  ( DAY  CARE  CENTRES ).
6. KWENYE  VITUO  MBALIMBALI  VYA  AFYA.

7.  KWENYE  VITUO  MBALIMBALI  VYA  LISHE  MAALUMU  KWA  WAGONJWA  (Special  Diet  Centres  )

8. KWENYE  VITUO  MBALIMBALI  VYA  KUTUNZIA  WAATHIRIKA  WA  DAWA  ZA  KULEVYA  (Sober  Houses )


9.  KWENYE  VITUO  VYA  KUTUNZIA  WAZEE  NA  WATU  WENYE  MAHITAJI  MAALUMU  YA  KIAFYA.

10.  KUHUDUMIA  WAGONJWA  NA  WENYE  MAHITAJI  MAALUMU   YA  KIAFYA  WALIOPO  MAJUMBANI.

11. PAMOJA   NA  KWENYE  MAOFISI  MBALIMBALI.


MWOMBAJI  awe  na  Elimu  ya  kuanzia kidato  cha  nne  na  kuendelea.


FOMU  ZA  KUJIUNGA 
Fomu  za  kujiunga  na  kozi  hii  zinapatikana  chuoni kwetu  kwa  gharama  ya  shilingi  ELFU  KUMI  NA  TANO  TU
( Tshs.15,000/= )
Tunapatikana  UBUNGO    jijini  DAR  ES  SALAAM,nyuma  ya  jengo  la  UBUNGO  PLAZA.


Mwisho  wa  kuchukua  fomu  ni  tarehe    12  JUNI  2015  saa  nane  kamili  mchana.

ADA  YA   MASOMO 
Ada  ya  masomo  haya  ni  rahisi  sana, na  italipwa  baada  ya  mhitimu  kuingia  kazini.

KWA WAOMBAJI  WA  MIKOANI:
Kwa wa mikoani, kozi  itatolewa  kwa  njia  ya  posta.
  Kwa  waliopo  nje  ya  Dar  Es  salaam,kupata fomu ya  kujiunga  na  kozi  hii, andika   maombi  ya  fomu  ya kujiunga  na  kozi   hii,kupitia  barua  pepe yetu  ambayo  ni :
neemaherbalist@gmail.com


Kwa  maelezo  zaidi, wasiliana  nasi  kwa  simu  0765103080.

Au  tembelea :
www.neemaherbalist.blogspot.com
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad