AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Kwa heshima na taadhima mwanahabari wenu toka chombo cha habari cha kwaminika, chombo kinachofanya kazi bila kupokea bahasha, chombo kilichobaguliwa na mafisadi, Chombo kinachotoa ruhusa kwa kila members kukusanya na kurusha habari, Chombo chenye herufi mbili "JF" kambanda wa ukweli nipo hapa stadium nikishuhudia mazingaumbwe.
Tokea jana nilikuwa nikirandaranda kwenye mitaa na chocho zote za jiji la harusha lakini sikukutana na pikipiki, baisikeli, ng'ombe, mbuzi au gari la matangazo ya mkutano wa leo.
Leo pia nimeamka saa 10 alfajiri/usiku kuendelea kutafuta ata fisi au nguchiro akitangaza mkutano wa Ngoyai lakini nimeambulia patupu.
Muda huu nimeamua nijikite hapa Shekhi Amri Abeidi Karume na kamera zangu ili nipate picha za mazingaumbwe ya leo. Kiukweli uwanja umependeza sana majukwaa yapo matatu sijui ni tamasha la Fiesta? na sound system iliyofungwa hapa siyo ya kitoto na sijui huyu jamaa kaitoa wapi?
Mandugu kaeni mkaowa kula...............
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK