AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
“Watu hawana dogo, ukiwa karibu na mtu basi utaambiwa mpenzi wako, Nay hakuwahi kuwa mpenzi wangu kwa kuwa ni zaidi ya rafiki kwangu, ila watu wasio waelewa ndiyo walikuwa wakivumisha kwamba tuna uhusiano kwa maslahi yao, lakini sasa ukweli umejulikana kama mnavyoona na mnavyosikia Nay ni wa nani,” alieleza Jacqueline bia kumtaja anayetoka na mwana hip hop huyo.
Wolper aliongeza kwamba taarifa hizo ziliposambaa alipata tabu ambapo alikuwa akitumia muda mwingi kujieleza kwa watu wake wa karibu kutokana na tuhuma hizo.
Gazeti la Mtanzania
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK