AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Diamond ndiyo Habari ya Nigeria!! Ali Kiba Upo Wapi? Diamond ameachia Video nyingine na IYANYA Itazame Hapa
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
nyimbo mbaya, kiki zimezidi,
ReplyDeleteSIONI CHOCHOTE KILA ANACHOIMBA STAILI ILEILE TU. DOMO ATAKUJA KUFA KWENYE KINENA.
ReplyDeleteyaani katika nyimbo iloni bore ni hii, hakuna kitu zaidi ya kukata kiuno. labda mademu wa almasi wataipenda.
ReplyDeleteBIG NOOO.THIS TIME DOMO KASHEMSHA KUKURUPUKA KUKIZIDI.
ReplyDeletehakuna jipya, naona Nassibu anapenda aonekane anaimba na wanje basi ndo raha zake, ila ni mbaya sana.
ReplyDeleteWivu tu
ReplyDeletenyimbo imetulia sana big upp Diamond,kwa mpango huu lazima uwe na maadui unajitahidi sana👌👏👏👏👏
ReplyDeleteNymbo ni nzuri jmn! Nyny hpo juu ni roho ya kwann imewakaa! Jarbum kupenda vya kwnu wasenge nyie
ReplyDeleteMwambieni ajue, wenzie kazi yeye anabakia kutafuta mabif ya kingese! Ngese2
ReplyDeletekwanini wewe mwandish utaje jina la ali kiba acha unafiki.kiba ataki bifu na mtu.acha ujinga
ReplyDeleteRoho zenu mbaya mpaka mnakuwa weusi hizo msg za juu atakuwa alikiba anaziludia ludia huwezi kuzuiya mafuriko kwa mikino Diamod ni moto mwingine
ReplyDeleteHUNA LIPYA WE DOMO IVI KWELI HUWEZI KUFUNGA ILO DOMO LAKO LIKO KAMA MSALANI
ReplyDeleterelaxin na msikize nyimbo mbona iko poa na video ni mzuri tu acheni zenu, am mondi bin laden fan n wema fan too, mond kudos boy kip the spirits alive
ReplyDeletehakuna cha wivu wala nini, kama mbaya ni mbaya. asiaambiwe yeye nani? si anakunya kama nyinyi.
ReplyDeleteAmetoa video ok, kulinganisha na kiba ibahusu nini? waandishi wa habari mnapenda sana beef,
ReplyDeleteUsikute Domo ndo kawalipa hawa waandishi wampe kiki kwa staili hii, mana ndo zake, Video kali nyimbo ya kawaida sanaaa
ReplyDelete