AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Ni mmoja wa vijana ninayemkubali sana Lowassa tangu akiwa waziri wa maji na baadae waziri mkuu. Maskini Pamoja kuugwa mkono na kila rika lakini kwa hotuba za makada wawili wanaoitaka hii nafasi ya uraisi ni dhahiri maadui wako wako ndani ya CCM na si UPINZANI kama nilivyokuwa najidaganya hapo awali!! pamoja na hotuba ya kistaarabu uliyoitoa juzi wenzako hawana hilo. Lakini mungu ni mwema tutashinda.
----
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
-------------------
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
INTERNSHIP VACANCIES
GOVERNMENT VACANCIES
NGO'S VACANCIES
GOODLUCK
Hashindi ng'oo, CCM wakimteua yeye tutawapigia upinzani
ReplyDeleteWE WE WE .... MKOMBOZI WA TZ HUYO..
ReplyDeleteNNJI HII INAITAJI MTU SERIOUS SASA C O KUCHEKA CHEKA