AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Ulikuwa utani wa jadi, lakini kitendo hicho kimetafsiriwa tofauti na wadau wengi na kumezuka tetesi kuwa kiungo huyo mshambaliaji amejiunga na mabingwa wa Tanzania bara, Young Africans.
Kutokana na taarifa hizo, Singano amekiri kupokea simu nyingi zikimuuliza kama kweli kajiunga na Yanga, lakini amekanusha uvumi huo.
Kupitia kwenye ukurasa wake wa mtandao wa kijamii wa Facebook unaokwenda kwa jina la Ramadhan Singano Messi amekanusha taarifa hizo na ameandika hivi;
Ramadhan Singano Messi
- Nimepokea cm nying sana wakiwa wananiuliza km ni kweli nimejiunga yanga,ila mm nasema siyo kweli na sina mpango huo mm bado naipenda simba
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
ACHANA NAO SIMBA WEE NJOO YANGA
ReplyDelete