Mwigizaji Rose Ndauka Achafukwa ..Apost Maneno Kuntu Kumchamba Fulani Anae Mchokonoa

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Rose Ndauka Amefunguka Haya Kwenye Ukurasa wake wa Instagram:


  • Nyie mliozoea kila siku kugombana msidhan kila mtu ana silka hiyo nimelelewa nikaleleka sasa msitake kuwajua watu undan wao kila siku unatafuta nani ugombane nae wengine mna nuksi,sasa basi wew unajifanya umewekewa pilipil kila saa unawashwa kutafuta wa kugombana nae bonyeza ikufungukie msione watu wametulia mkadhan ni maboya hatupendagi tu kuongea sana mnaacha kuwaza maisha yenu na kujali familia zenu kila siku new bifu......sasa hapa umepotea njia hili ni onyo la mwisho....siishi maisha ya insta na kinachofata ntakuanika live mtu mzima ovyooooooooooo na NTAKUFURAHISHAAAAA 
  • By Rose Ndauka

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad