AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Rapper huyo alikiambia kipindi cha Mlimanidotcom cha Mlimani TV kuwa ana mwaka mmoja na nusu sasa bila kuwa kwenye uhusiano wowote.
“Sasa hivi nimeingia kwenye break karibia mwaka mmoja na nusu,” alisema AY.
“Kila mtu ana uamuzi wake na kila mtu ana mipango yake katika maisha so kwa upande wangu nimeona nifocus sana kwenye kazi na ndio maana mnaona matokeo ya kazi inavyofanyika. Sometimes vitu kama hivyo vinakusogeza mbele, sometimes inaweza ikakudiscourage uwaka slow katika kazi zako. Ikitokea imetokea ila sasa hivi nipo kama baiskeli.”
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK