Mashabiki Wamshauri Mwigizaji LULU MICHAEL Haya Kutokana na Bifu Alilonalo na HUSNA MAULID Lililosababishwa na Kuchukuliana Mabwana

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Mwigizaji Lulu Michael Jana alishindwa kuvumilia na Kumtolea Uvivu Mrembo Husna Maulid Akitaka Amkome na Kuacha Kumuongelea, Lulu Alitoa Meneno Makali ambayo yamefanya baadhi ya Mashabiki wake Kumshauri ...

Hawa ni Baadhi ya Mashabiki waliomshauri kupitia Instagram:

mrekebishatabia @elizabethmichaelofficial mumy! We sasahivi focus kwa unayoyafanya...kama ni shule, kazi nk.....Haujaanza kusemwa leo na ulinyamaza kimya maisha yakaendelea, naona unaanza kuzua majadiliano kwenye social networks.... hapa ndo sasa unachokonoa watu kuongea mengi na media kuandika. Fanya yako kwa bidii itasaidia kuziba yale mengine. 12

cjthefqueen @elizabethmichaelofficial ningekushauri siku nyingine kabla hujaruhusu hasira zikucontrol mamii kaa chumbani ufikirie mangapi mazito umepitia then pima maumivu ya yale ulopitia na maumivu ya kusemwa na mtu mmoja halafu ukipata jibu piga goti sali na useme Asante Mungu. ...... Chukua cm yako n listen to the song u lv the most basi utakuwa umeepusha shirki hapo.


good_belle Huyo lulu mnamuonea buree husna ndo kaanza au hamjaona kuna smtimes mtu unachoka inabid tu hana moyo wa chuma huyuu 3

joyjovlyne_movingshop_tz Love u bby n fanya yako dear n by da way best wishes Roho wa Mungu akutangulie n kil dem wd success mamiii@elizabethmichaelofficial 4h

liliousbyt  la mjinga au mpumbv ni kukaa kimya, kujibishn ny ni kuonkn wote ni matahira tuuu aliponymz tk kipnd kile we all see how class she is but nau haya jan husna kajibu vile na leo yeye atajibu hivi and then wat next? Na we all know for other side who is guilty n not guilty inspite of all this bull shit!! So mi naona @mrekebishatabia ameongea point kwanza ana mitihn focus na kusoma na mitihn uvune mavuno mazr hp bdye na si kujibishn mtandaoni 7


staystrong_lizymichael Wataongea tu ila watanyamaza coz watz tumeumbiwa hivyo, as she said ni miaka kama miwili kavumilia matusi na maneno yote, sometimes kusema au kuongea chochote katika yanayoendelea kunafanya utoe dukuduku lako moyoni na maisha yanaendeleaa, kasema kamaliza I hope hata nafsi yake iko safiiiiiiiii @mrekebishatabia @elizabethmichaelofficial  13h
Read more at http://websta.me/n/mrekebishatabia#SwFViPkMc1U4vz6s.99

----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad