Rose Mhando Katika Skendo ya Utapeli Tena.. Atuhumiwa kwa Kutoweka na Pesa Show

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Msanii maarufu wa nyimbo za injili Rose Mhando ametuhumiwa kutapeli zaidi ya shilingi milioni 3 pesa alizoziomba kwa ajili ya tamasha la burudani ya injili kwa wakazi wa mkoa wa Njombe lilikokuwa lifanyike Jumapili iliyopita na kufunguliwa kesi.

Akizunguimza na waandishi wa habari baada ya msanii huyo kutoonekana katika tamasha la injili alilotakiwa kutumbwiza, Mkurugenzi wa The Comfort Gospel Promotion na mratibu wa tamasha hilo, Gerald Sedekia amesema kuwa Mhando alitakiwa kutumbwiza katika tamasha ambaloliliandaliwa kwa ajili ya kuchangisha pesa kwa ajili ya mfuko wa kuchangia watoto yatima.
Gerald amesema kuwa walipo kutana mjiji Dodoma na kujaza mkataba alihitaji kupewa pesa zote ili wasiwe wanadaiana ana walimlipa pesa zote za tamasha ambazo ni shilingi milioni tatu.
Gerald ameongeza kuwa katika mkataba wao ulikuwa unasema kuwa asipofika katika tamasha atatakiwa kuirudisha pesa za gharama na asilimia 10.
Jitihada za kumsaka Rose Mhando ili kusikia naye kwa upande wake anazungumza nini juu ya tukio hili bado zinaendelea.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

1 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad