AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Nimekutana na hii moja inayomhusu Dontavian Eagle McCree mwenye miaka 19 aliyeachiwa jukumu la kukaa na mtoto wa dada yake wakati yeye akiwa kazini.
Siku moja wakati akiwa nyumbani na mtoto wa dada yake, Dontavian aliamua kumpatia mtoto huyo wa miezi 10 pombe, akachanganya pombe kwenye maziwa ya mtoto na kumnywesha.
Dontavian Eagle McCree,19. |
Siku chache baadae mtoto alianza kuumwa na baada ya mama yake kugundua aliamua kumpeleka mtoto hospitali na ndipo alipogundua kuwa mtoto alinyweshwa pombe.
Dontavian amekamatwa na kupelekwa kituo cha polisi na thamani ya dhamana yake ni dola 15,000 ambayo ni sawa na Mil.30 za Kitanzania. Hali ya mtoto sio nzuri kabisa.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK