AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mwenyekiti wa CCM JK simama hadharani na utamke wazi wazi la sivyo tunaposema CCM ni chama cha mafisadi kwa miaka yote msipingane na Sisi.
Au La na mwenyekiti wa CCM utakuwa upo kwenye cheni moja na EL
Mnaogopa nini kumtaja kama ni fisadi?
Na kwanini mtumie vijana wa ngazi za chini kama Makonda na Nape kwenye chama chenu kumwandama na nyie mkiwa kimya?
Tunaitaji matamko ya
1.Mwenyekiti wa CCM
2.Makamu mwenyekiti CCM
3.Katibu Mkuu CCM
Sio Mavuvuzela wa chama,la sivyo nyote ni mafisadi na wezi tu mnaooneana aibu kwa kuzidiana ufisidi.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Ni kweli kabisa hata mimi nina wasiwasi hata Rais wetu anaweza kuwa fisadi mkubwa sana kuliko Lowassa.
ReplyDeleteHiyo si kazi ya mwenyekiti
ReplyDelete