AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Wakati akitangaza Kujiunga na Chama cha Chedema leo hii mmoja wa waandishi ameuliza swali kwanini yupo karibu sana na matajiri ..Lowassa amejibu swali hilo kwa kusema kuwa anachukia sana umaskini ndio maana yupo karibu nao na nia yake ni kufanya watanzania wote wawe matajiri kama kina Mengi na Bhakresa......
Toa Maoni yako.....
----
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
-------------------
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
INTERNSHIP VACANCIES
GOVERNMENT VACANCIES
NGO'S VACANCIES
GOODLUCK
Yani ndooooooo umepotea kabisaaaaaaaaaaaaaaaaa polesaaaaaaaaa maana nasafari yako yamatumaini itaisha octoba hauta amini pole sana Lowassa nakuhurumia watu wachache wanakudanganya wanakula hela zako bure
ReplyDeletelabda utuuze na sisi wa Tanzania ila huwezi kushindana na Mungu ukiwa mbishi atajua mwenyewe cha kufanya
ReplyDeleteLowasa mungu akikutapika kakutapika umepotea huko Sasa utazikwa Bila Sanda. Laana
ReplyDeleteKama anataka wtz wote wawe matajiri kwanini hakuonesha mfano huo alipokuwa waziri mkuu? Iweje sasa ndio unataka hivyo. buy the ways kwa mtazamo wangu Urais utausikia tu. kwasababu ccm sio wajinga watafanya juu chini hutofanikiwa tu.
ReplyDeleteAll you anonymous above are nothing but losers. You don't know shit maskini wakubwa nyie.
ReplyDeleteKajambe huko tajili ungeangaika angaika si ungetulia tu na familia yako
ReplyDeleteKubwa jinga ngoja uchunwe hadi ubaki na ngozi alafu ndio akili itakaa sawa
ReplyDeleteNilikuwa na wasiwasi but now nimeelewa, kwa kweli jamaa ana tatizo la akili, mirembe inamhusu, he! Watanzania wote tuwe matajiri? Si bure, apimwe akili jamani
ReplyDelete
DeleteKula 5.Yaani ni ahadi za kitoto kabisaaaaaaaaaa mdau.
Kweli jamaa ana uchu wa madaraka,na si vinginevyo.
Wote hapo juu ni wasenge kwasababu mnapenda umaskini tunatakiwa tuwe matajiri kwani hao akina mengi na bakhressa wameushiwa na malaika?
Delete