Moshi Washindwa Kufuka Usiku wa Jana Kumpata Mgombea Urais CCM, Zoezi Lahairishwa Ghafla, Kisingizio Hichi Hapa

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi Mh. Jakaya Mrisho Kikwete alitangaza kuahirishwa kwa mkutano  mkuu  wa  CCM  hadi  kesho  saa  nne  asubuhi  ambapo  mgombea  rasmi  wa  chama  cha  mapinduzi  atatangazwa  baada  ya  kura  za  wajumbe  kuhesabiwa. Baada ya zoezo la kupiga kura kumalizika Jakaya Alisimama na Kudai kuwa Zoezi la Kuhusabu kura litachukua Usiku mzima hivyo majibu mpaka leo asubuhi saa nne..Hili limewashitua watu kidogo kwani wakati anafungua mkutano alisema kwamba majibu lazima yatoke usiku huu huuu......

Waliopigiwa  kura  na  mkutano  mkuu  usiku  huu ni  wale  waliofanikiwa  kuingia  3  bora  ambao  ni  Magufuli, Amina  Salum  na  Asharose  Migiro...

Nani  ataibuka  kidedea??.....Majibu  yote ni  kesho  saa  nne  asubuhi
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad