AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi Mh. Jakaya Mrisho Kikwete alitangaza kuahirishwa kwa mkutano mkuu wa CCM hadi kesho saa nne asubuhi ambapo mgombea rasmi wa chama cha mapinduzi atatangazwa baada ya kura za wajumbe kuhesabiwa. Baada ya zoezo la kupiga kura kumalizika Jakaya Alisimama na Kudai kuwa Zoezi la Kuhusabu kura litachukua Usiku mzima hivyo majibu mpaka leo asubuhi saa nne..Hili limewashitua watu kidogo kwani wakati anafungua mkutano alisema kwamba majibu lazima yatoke usiku huu huuu......
Waliopigiwa kura na mkutano mkuu usiku huu ni wale waliofanikiwa kuingia 3 bora ambao ni Magufuli, Amina Salum na Asharose Migiro...
Nani ataibuka kidedea??.....Majibu yote ni kesho saa nne asubuhi
----
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
-------------------
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
INTERNSHIP VACANCIES
GOVERNMENT VACANCIES
NGO'S VACANCIES
GOODLUCK