AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mtangazaji wa Kipindi cha Wanawake Live, Joyce Kiria ametoa kali ya mwaka kwa kueleza kuwa, akishibishwa vilivyo na mume wake ‘chakula cha usiku’, haoni sababu ya kumsifia kupitia mitandao.
Joyce ambaye amekuwa na kusumba na kumpa sifa kemkemu mume wake kila atokapo kula ‘chakula’ hicho ameeleza kuwa, haoni tatizo kufanya hivyo kwa kuwa kila mtu anajua ukiolewa lazima upewe ‘chakula cha usiku’ na ushibe ndipo utaifurahia ndoa.
“Mi sioni ajabu jamani kwa sababu ni vitu vya kawaida kabisa, nani asiyejua tumetoka kwa wazazi wetu kwa ajili ya kufuata ‘chakula cha usiku?’ Kwa hiyo sioni hatari kwa kweli, nitaendelea kumsifia mume wangu atakaponipa furaha, ” alisema Joyce.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Aisee hiyo Ni special case! Joyce now days siooooo
ReplyDelete"NOWADAYS"Mdau na sio "now days"(ni neno moja na sio mawili) Enzi zako za shule alikuwa mwl.wa kiinglish akiingia darasani wewe ulikuwa unatokea dirishani nini?
Deleteanatafutaa kick
ReplyDeleteMtu mzima noma hiyo jiheshimu hujui kama haya magazeti hata akina dogo nao wanayasoma nini?Kwa usemi huo ulioutoa wajifunze nini?Huo uzungu wenu wa plastiki umepita kikomo
ReplyDelete