ROSE MUHANDO claims she is tired of being a Christian as some link her to Devil Worshiping

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Popular Tanzanian singer, Rose Muhando, has shocked her ardent fans after claiming that she is tired of being a Christian.

While speaking during a radio interview, the mellow voiced singer said that ever since she converted to Christianity, problems have been following her from right, left and centre.

Apparently, she was a Muslim before converting to Christianity. Rose claims that when she converted to Christianity, a preacher promised her alot of good things but her life has been full of pain and misery.

She has been involved in many scandals ranging from ab()rt!on to money laundering claims.
This is exactly what she said during the interview;

Wakati nahubiriwa kuokoka, niliambiwa nitakutana na upendo lakini matokeo yake nimekuwa mtu wa ‘kupigwa mashuti’ tu.

Mfano, mtu anakualika kwenye tamasha, kwa bahati mbaya unashindwa kufika na unampa taarifa lakini kesho yake unasikia umetapeli, wameshindwa kuona hata jema moja kwangu? Nafikiria kurudi kwenye dini yangu, naamini nitapata faraja

In the past, the top rated Tanzanian singer has been linked to devil worshipping but has always refuted these claims.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

7 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. SHE CAN GO TO HELL,, WHEN SHE CORN PEOPLE WHAT DOES SHE THINK? SHE IS A THIEF USING CHRISTIANITY TO SURVIVE

    ReplyDelete
  2. RUDI TO MAMA, KWA SABABU HALI ULIYOFIKIA SASA NI KUUTIA AIBU UKRISTO. SIKU YA HUKUMU UTASIMAMA WEWE PEKE YAKO NA MUNGU WAKO

    ReplyDelete
  3. KWELI UMEUCHOKA UKRISTO. ANGALIA HATA UNAVYOVAA MANYONYO YOTE NJE! LOH, HATA SISI TUMEKUCHOKA.

    ReplyDelete
  4. ULIKUWA UKIPIGA MBIO NZURI, NI NANI ALIYEKURUDISHA NYUMA JAMANI!!?? YAANI ILE ALBUM YAKO YA KWANZA ILINIBARIKI SANA, ILA ULIPOANZA KUCHANGANYA MAMBO, OOH MARA YESU NIBEBE, OOH MARA UTAMU WA YESU, YAANI UNACHANGANYA MANENO YA KIDUNIA NA NYIMBO ZA INJILI KWA KWELI DADA UNALIAIBISHA KANISA. USICHEZE NA INJILI DADA, CHEZEA VYOTE LAKINI USIMCHEZEE MUNGU ALIYE HAI

    ReplyDelete
  5. muulizeni mume wake nani?Anayekidhi haja zake za kimapenzi ni nani?
    kwa kuishi kimaigizo anatoa tafsiri nyingi ambazo si nzuri kama kioo cha jamii,ni bora hasingeingia ulokole kuliko kumkiri YESU na kuishi maisha yenye utata,wahenga walisema mficha maradhi kifo umuumbua,niliambiwa zamani na producer mmoja maarufu nchini(jina nahifadhi) kuwa Rose Mhando anatafuta pesa kwa kivuli cha nyimbo za injili,wala si mkristo wa dhati,sasa ni miaka zaidi ya 15 tangu niambiwe maneno hayo,sikuamini ila sasa naanza kuamini kuwa huyu dada ni tofauti na nilivyodhani,
    wakristo tumeamriwa kusamehehe tumsamehe,tumuombee,uenda amezidiwa na majaribu ya shetani,si wakati wa kuhukumu.Mtoto wangu anapenda sana nyimbo za Rose Mhando,sijui atajisikiaje kwa kumpenda msanii anayetuhumiwa kwa utapeli !

    ReplyDelete
  6. muulizeni mume wake nani?Anayekidhi haja zake za kimapenzi ni nani?
    kwa kuishi kimaigizo anatoa tafsiri nyingi ambazo si nzuri kama kioo cha jamii,ni bora hasingeingia ulokole kuliko kumkiri YESU na kuishi maisha yenye utata,wahenga walisema mficha maradhi kifo umuumbua,niliambiwa zamani na producer mmoja maarufu nchini(jina nahifadhi) kuwa Rose Mhando anatafuta pesa kwa kivuli cha nyimbo za injili,wala si mkristo wa dhati,sasa ni miaka zaidi ya 15 tangu niambiwe maneno hayo,sikuamini ila sasa naanza kuamini kuwa huyu dada ni tofauti na nilivyodhani,
    wakristo tumeamriwa kusamehehe tumsamehe,tumuombee,uenda amezidiwa na majaribu ya shetani,si wakati wa kuhukumu.Mtoto wangu anapenda sana nyimbo za Rose Mhando,sijui atajisikiaje kwa kumpenda msanii anayetuhumiwa kwa utapeli !

    ReplyDelete
  7. rudi tu mama ilia kumbuka ulikotoka ulkua maskin wa kutupwa huo ukristo ndo unaokuweka mjini mungu ni mkubwa atainua mawe yatamsifu wal hauko peke yako yesu ana watu ewengi wengine wanapanda mlima wengine wanashuka kazi kwako km vodacom

    ReplyDelete

Top Post Ad