AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
“ Naepukana na unafiki tena naweza kusema ni roho mbaya chuki kwa baadhi ya wasanii kuunda makundi ambayo yanatumia muda mwingi kuwadis wengine, mfano hivi sasa wakata Diamond anawania tuzo za kimataifa eti kuna watu wanaungana na watu wan je kufanya kampeni ashindwe,” alisema Snura.
Snura anadai kuwa siku hizi makundi ambayo yanaundwa na wasanii au wapenzi wenyewe ambayo yanatumika vibaya katika kutengeneza ugomvi au kushabikia wasanii wakigombana kwa kutumia mitandao ya kijamii kuwatusi na kuwakatisha tamaa hata kama wanafanya kazi zinazotangaza Taifa.
Wema Sepetu ni miongozni mwawasanii ambao wanadaiwa kuhamasisha kundi lake “team Wema” kumpigia chepuo msanii wa Nigeria Davido ambaye anachuana na Diamond wa hapa nyumbani katika tuzo za MTV Africa MAMA.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
wivu tu na roho ya kwa nini..........
ReplyDelete