AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Chama cha mapinduzi, CCM kimemteua Dr .Magufuli kuwa mgombea wa Urais 2015.
Uteuzi wa Dr. Magufuli umetokana na ushindi wa kishindo alioupata baada ya mkutano mkuu kukutana jana usiku kwa ajili ya kupiga kura ili kupata jina moja kati ya matatu yaliyokuwa yamependekezwa na Halmashauri kuu ya CCM.
Matokeo ni kama ifuatavyo
1.Magufuli.....87%
2. Amina.......10%
3.Migiro......3%
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
fundi magufuli hapo kazi tuu,
ReplyDelete