Vurugu zimetokea leo Zanzibar baada ya Wanachama wawili wa CUF kupigwa risasi na watu waliofunika Nyuso zao

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Hali ya hatari imetanda katika wingu la Zanzibar mchana huu kufuatia Wanachama wawili wa CUF (majina yao bado hayajafahamika) kupigwa risasi na watu waliofunika nyuso zao kwenye kituo cha kuandikishia wapiga kura Makunduchi.

Waathirika wamewahishwa hospitali ya Arahma kuwahi matibabu ya haraka.

Taarifa zaidi zaja...
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

1 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. HAYA HAPO NI UANDIKISHAJI TU BADO UCHAGUZI !!!!!!!!!!!!!MMMMKAZI IPO

    ReplyDelete

Top Post Ad