AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Akizungumza na clouds TV, bwana Zito amesema Kigoma ndio base ya ACT hivyo ni lazima washinde majimbo yote ya Kigoma na kwamba yeyote anayetaka kushinda jimbo Kigoma lazima apitie ACT. Yeye binafsi anagombea Kigoma mjini kumtoa Serukamba. Amesema Lowasa hawezi kujiunga na ACT anaipenda sana CCM na pia ACT haitaki mtu anayechanganya biashara na siasa.
Source: Clouds Tv
----
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
-------------------
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
INTERNSHIP VACANCIES
GOVERNMENT VACANCIES
NGO'S VACANCIES
GOODLUCK