AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
August 06 2015 nimeipata taarifa rasmi kutoka kwenye Kikao ambacho Prof. Lipumba amekifanya Dar, ametangaza rasmi kujiuzulu nafasi yake ya Uenyekiti wa Chama hicho.
Kunani?
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
MAMLUKI hao sasa.. ukute wamedhurumiana
ReplyDeleteTutajua tu.Hao ndio wenye kujua ukweli kwamba Edo hana nia njema na TZ bali ana uchu wa madaraka tu.safiiiiiiiiiiiiiiiiiiii sana Pro.Lipumba,waache hao wajinga waliolewa na pesa za Lowasa. Magufuli tu jamani,Atapetaje kiulaini sasa!Mungu Ibariki Tanzania.
ReplyDeleteUKAWA Kumbe ni CHADEMA. Bila CHADEMA hakuna UKAWA. Tumeelewa somo.
ReplyDeleteNa bado watajiuzulu sana uchu wa madaraka ndio mpango mzima UKAWA mchezo hureeeeee kila mtu anataka kuwa raisi kila mtu atajenga chama chake mwenyewe.
ReplyDeleteMheshimiwa kulikoni tena unakumbuka shuka wakati kumeshakucha? DJ Mbowe ameshakuingiza mkenge wewe na CUF yako, umevua nguo zako zote umemkabidhi DJ akushikie! CUF imekula kwenyu, poleni sana tena sana. Ama kweli akili za kuambiwa changanya na zako (shikamoo JK)!!!! CCM JUUUUUUUUUUUUUUUUUU
ReplyDeleteHayawi Hayawi UKAWA sasa hii inaonekana wazi ujio wa EL hauna heri bado tu kuna UKAWA ni safari ya matumaini na UKIWA Thumb up Dr. Silaa na Pro Lipumba kwa kuonyesha uzalendo wa kweli wacha Mbowe and gang from CCM'S kapis wausikilize na kucheza muziki wa Aliselema selema bila kupenda
ReplyDeleteNjaa mbaya
ReplyDeleteafadhali umejiuzuli maana usingeshinda urais team lowasa oyeeeeeee jembe hilo soma alama za nyakati
ReplyDeleteMbowe ama kweli tapeli kawatia mkenge profesa na dakitari na visomo vyao na mishahada ya juu saa ingine kusoma ujinga kweli watanzania tutapona Mbowe plus Edo, lisu, Esther, Mnyika, Nassari ongezea na makapi yaliyomfuata Edo Mtume si mama haya si mageuzi tunayo yatarajia ya kuchoka miaka 50 ni kiama kimekaribia
ReplyDeletemakachero hawa.
ReplyDeleteprof kashawishika kuvuruga UKAWA.mbona mwanzo anamkalibilisha Edo, prof alikuwepo na vikao vingi vya kumuita Edo alikuwepo,Bila shaka kuna kitu behind,mimi kama usalama wa taifa nitawajuza wadau.LIPUMBA yupo tayari ccm irudi tena magogoni hiyo ndo tafsiri ya kujiuzulu.
Eti timu lowasa oyeeee unajipa moyo mpendwa ,,,, UKAWA ITAGEUKA UKIWA,,,,,, bongo Tambararee ,,,, Bongo Rahaaaaa banaaaaa. SIASA YA BONGO KAMA KICHWA CHA Chizi,,,,, Chadema Chaliii Lowasa a timbwili timbwili ka Asha ngedere.
ReplyDeleteLipumba na Silaa wameonyesha uzalendo hivi wangefungua kwa watanzania wapi midomo, wale wale waliomtukana EL leo wawatangazie wananchi kuwa ni msafi??? umetapika mbele za watu halafu uzoe ule? mh.
ReplyDeletelowassa hashindi hata mkale barabarani uchi
ReplyDeleteGood man Professor
ReplyDeletewamesahau zile Rungu ulizokuwa unachapwa kule Mbagala...
hahaha
ReplyDeletehahahahs
ReplyDelete