AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mtoto huyo ameingia duniani saa 10 na dakika 40 Alfajir, Alhamis hii.
Haijaweza kufahamika kwa mara moja ni hospitali gani mtoto huyo amezaliwa kwa kile meneja alichosema ‘usalama wa mama na mtoto’ kwakuwa bado wapo hospitali.
“Sura ya mama yangu inatosha kueleza ni kiasi gani najiskia ndani ya Moyo wangu, karibu kwenye ulimwengu @princess_tiffah,” ameandika Diamond kwenye picha hiyo juu aliyoiweka Instagram.
Awali Diamond alisema kuwa Zari angejifungulia Tanzania.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
DIAMOND ushilikiane na ZARI kumlea mtoto ktk maadili ya kiislam.
ReplyDeletelakin kama shida yk ilikua ni kumpata motto then ule kona from zari utamwalib motto
Hongera sana Dai na Zari. Mungu awawekeee baby wenu. Inshallah.
ReplyDeleteHongera Sana mungu awaekee na pia niwatake malezi bora inshallah
ReplyDeleteChibu kapime DNA mtoto siyo wako au ni kitanda hakizai haramu????
ReplyDelete