AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Muimbaji huyo amekiambia kipindi cha Hatua Tatu cha Times FM kuwa awali hakuwa na makazi maalum mpaka alipohamia kwa Shishi.
“Nilikuwa nalala studio, nashinda studio tu. Zamani makazi yangu yalikuwa studio, nilikuwa producer studio moja hivi Ilala, so siku niliyoenda kwa Shilole nilienda na begi tu,” alisema.
Kwa upande mwingine Nuh alidai kuwa maisha ya vituko wanayoishi na mpenzi wake wameyachagua.
Bongo5
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
HAPA NENO MPUMBAFUUUU NDIO LINASTAHI,KWAHIYO WEWE UNAOSIFA KUITWA MARIO?
ReplyDeleteP n Mav,hapa ni SIASA kwa sasa kwenda zako huko.
ReplyDeletekakupenda ulivyo, ndoo umuheshimu, siyo upate na kumkimbia
ReplyDeleteMzee wa Bustani alitaka kuhama ua jingine lakini kaabika
ReplyDeleteKila mtu ana story yake na maamuzi yake maishani. Sioni tatizo hapo
ReplyDelete