AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Q Chief amedai kuwa aliumia mno pale mtoto wake alipofukuzwa shule baada ya kupigana na mwanafunzi mwenzake aliyemtania kuwa baba yake ni teja!
Q-Chief alikuwa akizungumza na BBC Swahili hivi karibuni.
“Siku moja mwanangu alikuja analia sana, akaniambia baba mwanafunzi mmoja amesema baba yake si teja tu. Nikamwambia kwahiyo ukafanyaje akaniambia ‘nimempiga ndio maana nimefukuzwa’, nikamuuliza ‘kwanini umempiga?’ akasema nimejisikia uchungu sana,” alisema.
“Kwahiyo nikaona kama mtoto wa miaka tisa anaweza kusikia uchungu, amenyimwa haki zote za malezi ya baba. Nikajiuliza sio watu wote wananijali zaidi lakini huyu ni doctor kesho au ni lawyer au atafanya kazi BBC, napaswa kuwa mfano mzuri kwake, nikaamka asubuhi nikasema inatosha.”
Source:Bongo5
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK