Mwanangu Alifukuzwa Shule Kwa Kumpiga Mwenzie Aliyemtania Baba yake ni Teja – Q Chief

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Q Chief amedai kuwa aliumia mno pale mtoto wake alipofukuzwa shule baada ya kupigana na mwanafunzi mwenzake aliyemtania kuwa baba yake ni teja!
10956351_663821843741171_1618248528_n
Q-Chief alikuwa akizungumza na BBC Swahili hivi karibuni.
1391193_700453833312677_2145510502_n
Mtoto wa Q Chief
“Siku moja mwanangu alikuja analia sana, akaniambia baba mwanafunzi mmoja amesema baba yake si teja tu. Nikamwambia kwahiyo ukafanyaje akaniambia ‘nimempiga ndio maana nimefukuzwa’, nikamuuliza ‘kwanini umempiga?’ akasema nimejisikia uchungu sana,” alisema.
“Kwahiyo nikaona kama mtoto wa miaka tisa anaweza kusikia uchungu, amenyimwa haki zote za malezi ya baba. Nikajiuliza sio watu wote wananijali zaidi lakini huyu ni doctor kesho au ni lawyer au atafanya kazi BBC, napaswa kuwa mfano mzuri kwake, nikaamka asubuhi nikasema inatosha.”
Source:Bongo5
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad